Kwa kushirikiana na mafundi wa ndani, vyuo na taasisi kama SIDO, tunasaidia mafunzo ya ufundi, uanagenzi, ujasiriamali na vikundi vya VICOBA. Lengo ni kuhuisha ndoto za kazi na kujenga njia endelevu za kipato.
Tunaalika serikali, wafadhili, mashirika ya jamii na wataalamu kushirikiana nasi kupanua matokeo.
Wasiliana Nasi
